Natafuta mshirika wa kwenye biashara

Natafuta mshirika wa kwenye biashara

Msanii

Platinum Member
Joined
Jul 4, 2007
Posts
25,252
Reaction score
36,513
Wanabodi
Ninafanya ufugaji wa nguruwe na kuku.

Kwa sasa ninafugia Kigamboni. Lakini ninampango wa kuhamishia project Wilaya ya Mkuranga nina shamba la ekari sita huko.

Natafuta mjasiriamali mwenye nia ya kuwekeza kwenye ufugaji wa Nguruwe kwani nina uzoefu mkubwa na ndoto kubwa kwenye hii sekta.

Kwa interested part unakatibishwa PM tujayenge na endapo tutakubaliana tutaingia mkataba wa kisheria wa ubia.

Ahsante
 
Kwa wale wauzaji na wanunuzi wa mazao hasa kutoka mikoa ya nyanda za juu kusini yenye gharama kubwa ya chakula Sasa unaweza pata nafaka za aina mbalimbali, chakula cha mifugo pia nafaka mbalimbali kwa bei halisi ya mkoani

Unachotakiwa kufanya ni kuwasiliana na nasi katika group letu huwa tunapakia na kusafirisha hadi mkoa ulipo kwa bei ya mkoani na nafuu zaidi

Vyakula unavyoweza pata
1. Pumba za mahindi
2. Pumba za mpunga laini kwaajili ya nguruwe
3. Mashudu
4. Uduvi
5. Chakula cha kuchanganywa
6. Na vyakula vingine kwa order ya mteja husika kama uduvi, mahindi, chenga za dagaa, nk



 
Wanabodi
Ninafanya ufugaji wa nguruwe na kuku.

Kwa sasa ninafugia Kigamboni. Lakini ninampango wa kuhamishia project Wilaya ya Mkuranga nina shamba la ekari sita huko.

Natafuta mjasiriamali mwenye nia ya kuwekeza kwenye ufugaji wa Nguruwe kwani nina uzoefu mkubwa na ndoto kubwa kwenye hii sekta.

Kwa interested part unakatibishwa PM tujayenge na endapo tutakubaliana tutaingia mkataba wa kisheria wa ubia.

Ahsante

Nitafute
 
Back
Top Bottom