subsaharan
Member
- Sep 11, 2013
- 13
- 5
chuo mwaka wa pili... kiswahili sahihi ni "umri" sio " umli".......
miaka 22 bado unajiita mvulana.?
mm ni mvulana mwenye umli wa miaka 22 ,mrefu kidogo ,umbo la wastan,mweusi,mkristo,mtanzania,nipo chuo kikuu mwaka wa pili namba ya simu 0653357994
mm ni mvulana mwenye umli wa miaka 22 ,mrefu kidogo ,umbo la wastan,mweusi,mkristo,mtanzania,nipo chuo kikuu mwaka wa pili namba ya simu 0653357994
Hahahahahaha.Dogo piga shule kwanza, sioni sababu ya kuja kutafuta mchumba humu, your too young mpaka nakuonea huruma.