Tafuta mwema wa moyo ndugu yangu mrembo unaweza kulia baadaye, wema hauozi uzuri unachakaa, na unaweza kuondoka. MUombe Mungu akupe wapo wengi tu wema wa moyo ila kuwajua ndo shida. lakini ukiwa na Mungu kila kitu kinawezekana.Kwa kuwa Moja ya kazi za mitandao ni kutuunganisha watu wa aina tofauti tofauti basi nami nitumie Hii nafasi adhimu nilyonayo
Natafuta msichana Mzuri wa sura pamoja na tabia ili niweze kumfanya kama Mke wangu seriously
Niko Mwanza kikazi ila Nyumbnai Iringa naomba yeyote anaeweza kuwa na vigezo anijibu kupitia 0713208872 watsap namba
NOTE ...NIKO SERIOUS NA HILI JAMBO
Sasa kaja kutafuta mpenz jukwaa la Siasa nikajua anamtaka miss siasa wa Jf ambaye ni Cocochanel bin makonda oyeeee!!Mkuu umenifanya nicheke mpaka watu wananishangaa hapa nilipo
kazi ndogo hiyo kama haujasoma huo uzi mpaka mwishoNipe no Yko nkutafute
Tuwekee sura yako na wewe tuione usije kuwa una sikio moja jino moja mkono mmoja jicho moja na mguu mmoja. Pili wasichana wazuri wana ushindani mkubwa hugombaniwa na wengi haya tueleze mwenzetu unafanya shuguli ipi kuingiza kipato na kipato chako ni shilingi ngapi kwa mwezi na kuhusu elimu una elimu gani? Una mali gani unazomiliki kwa sasa? Na ndugu zako wanafanya shughuli gani yaani kuanzia wazazi kaka dada zako nk na ni dini Gani wewe? Mwisho vipi umepima huna ukimwi?Kwa kuwa Moja ya kazi za mitandao ni kutuunganisha watu wa aina tofauti tofauti basi nami nitumie Hii nafasi adhimu nilyonayo
Natafuta msichana Mzuri wa sura pamoja na tabia ili niweze kumfanya kama Mke wangu seriously
Niko Mwanza kikazi ila Nyumbnai Iringa naomba yeyote anaeweza kuwa na vigezo anijibu kupitia 0713208872 watsap namba
NOTE ...NIKO SERIOUS NA HILI JAMBO
We ni mrembo?Kijana Mm Nko tayar
Ameweka hapo juu. Hakikisha wewe ni msichana mrembo .Nipe no Yko nkutafute
ACHA KUTUTEGAN kweli mpaka nmekuja huku nimeshafanya tafiti sana na kimsingi nakuwa bze San na kazi sasa nkirudi usiku nakos hata wa kunipa pole nataka hata niwe naandaliwa nyumbani kama hela ninayo lakini kutumia peke angu shida
N kweli mpaka nmekuja huku nimeshafanya tafiti sana na kimsingi nakuwa bze San na kazi sasa nkirudi usiku nakos hata wa kunipa pole nataka hata niwe naandaliwa nyumbani kama hela ninayo lakini kutumia peke angu shida