Natafuta Msichana Mrembo kabisa nioe

Sidhan kama napaswa kushambuliwa but nimesema if nmekukwaza u can pass Bila comments ndo maana nimeweka namba ili mtu anitafute kwa phone namba sihitaji Malaya na awe tayari kupima VVU
 
Kama umepita katika maelezo yangu nimeweka namba yangu for more details
 
Mleta mada nakushauri uwe unatumia dawa zako kama ulivyoshauriwa pale mirembe, tofauti na hapo unazidi kuwa mwehu.
 
Kama umepita katika maelezo yangu nimeweka namba yangu for more details
Weka taarifa acha ubabaishaji. Yaani mtu atumie vocha yake kuhangaika akujue wewe nani wewe kweli una tatizo ndio maana wachumba kwenu wamekukataa unatafuta kwenye internet
 
Weka taarifa acha ubabaishaji. Yaani mtu atumie vocha yake kuhangaika akujue wewe nani wewe kweli una tatizo ndio maana wachumba kwenu wamekukataa unatafuta kwenye internet
Sasa hizi akili zikapimwe then zije na huku
Mleta mada nakushauri uwe unatumia dawa zako kama ulivyoshauriwa pale mirembe, tofauti na hapo unazidi kuwa mwehu.
 
Usisumbuke njoo Dar,fika Container Bar ujichagulie mwenyewe
 


Samahani Mkuu mtoa Mada, Wazazi bado wapo Hai? Bibi Yupo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…