Sifa za msichana umetoa...zako ziko wapi?!Au kua na kazi inatosha...?!
Junior!ajaalibu maana kuna baadhi ya vibinti navyo vinatabia hiii.utasikia twende tukapime,siku ukimkandamiza tu mara moja swala la kupima alipo tena,na mnaendelea kukandamizana hivyo hivyo bila kupima,na hatimaye utasika tu Dad tumbo mara hivi mara vile ujue tayari kapregnant kameshika.dah.!!! Blood test, hapo ndo umealibu.. Hupati mtu labda uedit kwanza
ang'ebandika hilo tangazo lake kule facebook,mambo yang'eenda haraka haraka sana.Wife mtandaoni
duh hii ni hatari na kazi ipo
ang'ebandika hilo tangazo lake kule facebook,mambo yang'eenda haraka haraka sana.
<br />Wife mtandaoni <br />
duh hii ni hatari na kazi ipo
Wife mtandaoni
duh hii ni hatari na kazi ipo
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mmmmhh! Kumbe wenye jukwaa mpo on line! Mambo vp?
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mmmmhh! Kumbe wenye jukwaa mpo on line! Mambo vp?
<br />Wanapatikana wengi tuuu, mi mwenyewe tayari nishagonga watatu hadi sasa
H<br />
<br />
Mhhh haya bana.
Hao ni wa kugonga sio mke kama jamaa anavyotaka
Wawili kati yao walikua wananilazimisha niwaoe sema nawastahi tu siwezi kuwataja majina.
Inategemea
huwezi kumuibua mtu kwenye mtandao ghafla mpendane ghafla muanze mipango ya ndoa
wewe sema unatafuta watu wa kusghare nao starehe zako na sio real wife over mtandao tena kama hapa ambako hata sura hujui
may be facebook huko
mbona ulaya imewezekana hiyo nahuku kwetu imekuwa kama ulaya kutokana na utandawazi