Colins myinga
Member
- Apr 30, 2017
- 13
- 9
Natafuta msichana wa kazi awe na umri kati miaka 16-18 kituo Cha kazi Dar-es-Salaam Temeke Yombo vitukaa
Namba ya simu -0786-699076
-0657-239699
Namba ya simu -0786-699076
-0657-239699
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafuta msichana wa kazii awe na umri kati miaka 16-18 kituo Cha kazi Dar-es-Salaam Temeke Yombo vitukaa
Namba ya simu -0786-699076
-0657-239699
Watoto.Na mimi nahitaji msaidizi wa nyumbani.
Kituo cha kazi Dar.es salam.
Hakuna kazi kubwa.Watoto wawili ,mmoja anarudi jioni mmoja wa miaka miwili .
Basi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi nataka kazi ya uhouse boy!! Mshahara nimeridhika nao
Okay poaaukikosa mfanyakazi nitafute nikupe namba ya mdada wa mwanza aliyepo dodoma kikazi, mzungumze biashara hiyo...ukimuhitaji utanicheki 0735459988
Mr una utanii sanaa 200000 kwa kazi hipi au unafanyaa production ehMambo yamebadilika sana sasa hivi. Tuanze kujifunza kufanya shughuli zetu wenyewe, ikiwezekana kina mama inabid muwe watu wa nyumban. Sasa hivi kupata binti wa kazi ni ishu mimi nishaamuaga vijamaa vyote shule, nunua mashine ya kudeki, kuosha vyombo na kufua. Kupika tunasaidiana na wife. Tukitaka watu wa kazi tupandishe madau walau 200000 kwa mwez tutapata wengi ila kwa hiyo 50000 watu wamebadilika
Yuko wapYupo wa miaka 21
wapo kibao wanalipwa mpaka 30000Mambo yamebadilika sana sasa hivi. Tuanze kujifunza kufanya shughuli zetu wenyewe, ikiwezekana kina mama inabid muwe watu wa nyumban. Sasa hivi kupata binti wa kazi ni ishu mimi nishaamuaga vijamaa vyote shule, nunua mashine ya kudeki, kuosha vyombo na kufua. Kupika tunasaidiana na wife. Tukitaka watu wa kazi tupandishe madau walau 200000 kwa mwez tutapata wengi ila kwa hiyo 50000 watu wamebadilika
Hivi utajisikiaje mtu amchukue mtoto wako alafu aweanamlipa 30k?wapo kibao wanalipwa mpaka 30000
Kiukweli nimejiuliza na kuuliza hili swaliHivi utajisikiaje mtu amchukue mtoto wako alafu aweanamlipa 30k?
Somaaaa title sawaa mkuu sawaaKiukweli nimejiuliza na kuuliza hili swali
halafu unampa huyo mtu akulelee mtoto mchanga kwa 30,000
Usiwe mtu wa kutalks tuu lala okay kwanz nimeshapataaa sawaa so byeKiukweli nimejiuliza na kuuliza hili swali
halafu unampa huyo mtu akulelee mtoto mchanga kwa 30,000