jinga mwingine sijui utaisha lini. Nenda bukoba utawaona wengi, utachagua uchukue umpendayeni mwanaume mwenye umri wa miaka 30 nahitaji msichana mwenye mapenzi ya kweli na si ya msimu,vigezo,awe mhaya,mkristu na mwenye kazi yake ama kajishughuri ka kumwezesha kuingiza kipato ili maisha yaweze kwenda
kama uko kimaisha zaidi tuwasiliane ila ntaomba unipm ili tukamilishe baadhi ya mambo kwanza alafu tutaendelea kuwasiliana
Mugambile bojo,bati oshenya nalakutwekesa,mbwenu omuli jf alimu owokumutwekesa?Omukyala,nomuiga omutandao Kyoma?TINKUMANYA!!!!!!!!!!!!!
Ni mwanaume mwenye umri wa miaka 30 nahitaji msichana mwenye mapenzi ya kweli na si ya msimu,vigezo,awe mhaya,mkristu na mwenye kazi yake ama kajishughuri ka kumwezesha kuingiza kipato ili maisha yaweze kwenda
Kama uko kimaisha zaidi tuwasiliane ila ntaomba unipm ili tukamilishe baadhi ya mambo kwanza alafu tutaendelea kuwasiliana