Habari wandugu. Mimi ni mkazi wa Dar maeneo ya Kigamboni. Natafuta mdada umri wowote wa kuishi naye kusaidiana kimaisha. Hatahusika suala la kodi. Naishi chumba kimoja.
Masuala ya kula ni juu yangu. Mengine ni yeye mwenyewe. Ni dizaini ya rafiki zaidi wa kike wa kuishi naye. Si lazima tuwe wapenzi. Namaanisha na nipo serious. Heshima ni kitu cha muhimu.
Kwa aliye serious anaweza kunicheki PM
Masuala ya kula ni juu yangu. Mengine ni yeye mwenyewe. Ni dizaini ya rafiki zaidi wa kike wa kuishi naye. Si lazima tuwe wapenzi. Namaanisha na nipo serious. Heshima ni kitu cha muhimu.
Kwa aliye serious anaweza kunicheki PM