Kumbe da sasa hitaji langu now ndo hilo ngoja cku ya bata ikifikia ntawaambiaHawawez kuja labda ungewaambia mkale bata tu na kupiga umbea ungejaza hata treni la magirl wakutoka nao lakini kwenye kubadilishana mawazo ya ujasiriamali huwapati ng'oooo
Ni kitu kizuri kwa kweli....
Kama umeamua kutafuta tulizo la moyo.
Maana upweke sio kitu kizuri hata kidogo...
Ila keep your promise mjadili ujasiriamali tu msitoke nje ya key...