Mambo,
mm ni kijana wa miaka 31,natafuta msichana wa kuliwazana maana girl friend wangu yuko mbali,so nakuwa a lone muda mwingi ila asiwe m2 wa kuja kupigana mzinga au lengo la kuolewa,natafuta yule ambae tukikubaliana siku moja moja tunapunguzana stress au kupiga story........Muonekano wangu:ni wa kawaida tu na sio mrefu,na nimeajiriwa,elimu ni chuo...kama uko interesting ni pm
Mi mwenyewe nina mawazo.....my bby kasafiri wiki ya pili sasa........nashindwa nifanyeje.......
Sasa si um-PM!!!!!
Call me on this number, 1-800-YES-YEGO Mawazo uliyonayo yatapungua!.Mi mwenyewe nina mawazo.....my bby kasafiri wiki ya pili sasa........nashindwa nifanyeje.......
Yeye amesema um-PM bhana!.Hata mie mistress kibao tu....sasa nakupigia mbona hupokei?
Bahati iliyoje! na mimi natafuta kijana wa kuliwazana maana boy friend wangu yuko masafa. Sharti ni kwamba usionje ukataka kuning'ang'ania, maana ninaye wangu kama wewe ulivyo na wako.Mambo,
mm ni kijana wa miaka 31,natafuta msichana wa kuliwazana maana girl friend wangu yuko mbali,so nakuwa a lone muda mwingi ila asiwe m2 wa kuja kupigana mzinga au lengo la kuolewa,natafuta yule ambae tukikubaliana siku moja moja tunapunguzana stress au kupiga story........Muonekano wangu:ni wa kawaida tu na sio mrefu,na nimeajiriwa,elimu ni chuo...kama uko interesting ni pm
Alaa stress mpaka nakupigia wewe ...duuhYeye amesema um-PM bhana!.