Pate_15
Senior Member
- Oct 26, 2013
- 156
- 48
Jina na picha ndo hivo vinadisplay kwa my profile ...
Ni mvulana
Umri wangu miaka 25
Elimu yangu ni ya wastani,
Najishughulisha na ufundi wa sofa,
Naish dar
Ni mkristo..
Mwenye kuvutiwa nami na awe na sifa 1 kubwa ya kujielewa nn anafanya na asiwe na tamaa.
Kama ukointerested ni PM
Ni mvulana
Umri wangu miaka 25
Elimu yangu ni ya wastani,
Najishughulisha na ufundi wa sofa,
Naish dar
Ni mkristo..
Mwenye kuvutiwa nami na awe na sifa 1 kubwa ya kujielewa nn anafanya na asiwe na tamaa.
Kama ukointerested ni PM