Natafuta msichana wa kumwoa hapo badae

Mkuu humu wengi ni wa-mama na WASIMBE mnaowaita single mothers siku hizi!
 
Hivi mnaotafuta wake humu hua mko serious kabisa? Nawaza tu mtaani kwetu kuna vidume tu
 
Miaka 21, uko JF unatafuta wasichana?

Subiria baadae kidogo tu. Uwe mpenzi mtazamaji.
 
Subiri nijifungue akiwa wakike utakuwa mkwe wangu. Nipe kifungua uchumba kabisa
 
nina umri wa miaka 21 natafuta msichana mwenye mapenzi ya kwel ambaye yuko serious na jamb hili naahidi kumpenda 0766566085
Mkuu unataka kumfanya nin msichana wa watu???
 
yaani wew mtoto unatafuta msichana humu ata shule ujamaliza naenda kumwambia mama yako
 
Una kazi gani? siyo nikuozeshe mwanangu wakati wewe mwenyewe unakaa kwa baba yako halafu utakuwa umemuongezea mzigo baba yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…