Natafuta Msichana wa Kumwoa

Natafuta Msichana wa Kumwoa

Facha Don

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2016
Posts
345
Reaction score
317
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26
Elimu ni Chuo kikuu.

Nimeajiriwa nipo kikazi Arusha.

Natafuta msichana wa Malengo nae atakae nipenda na nitakaempenda awe mama bora wa familia niwe baba bora wa familia.
Nitampenda maisha yangu yote[emoji8]
umri miaka 20-26 kunijua zaidi anicheki.

Hobbies: Music,Movies,Comedy,Hiking & Drawing, & joke

Food:Wali Samaki,Ugali Samaki,
 
Haupo serious, huko unapokaa hamna wasichana?
 
Huko ulikotembea na waliokuona physically hakuna aliyewahi kuwa interested?
 
Back
Top Bottom