Natafuta msichana wa kuoa.....mke....!

Natafuta msichana wa kuoa.....mke....!

Kisaka80

Senior Member
Joined
Feb 4, 2012
Posts
151
Reaction score
94
Wapendwa wana JF natafuta mchumba wa kuoa...am more than serious katika hili jambo. Natafuta binti mwenye vigezo vifuatavyo:- mcha mungu, umri miaka 20 hadi 33. Elimu kuanzia Kidato cha sita na kuendelea, anayejipenda na kujiheshimu, awe mkristo -dhehebu lolote lile.....! Mimi nina miaka 34, Elimu yangu ni ya chuo kikuu, Mkristo wa roman catholic. Msichana aliye serious naomba ani-Pm tafadhali.
 
@lara1 anasema uweke picha,usije kuwa unatoka ukoo wa Pinda
 
Back
Top Bottom