Steven Simon
Member
- Sep 27, 2013
- 26
- 2
mi Steve natafuta msichana mweupe, msukuma, miaka 19 hadi 23, aliyehitimu chuo au aliyeajiriwa, mkatoliki mrefu wastani, mwenye bikra. sifa zangu mweupe kiasi, mkatoliki, miaka 28, nimeajiriwa, mrefu kiasi, mchaga. nahitaji nikimpata tufunge ndoa takatifu
mi Steve natafuta msichana mweupe, msukuma, miaka 19 hadi 23, aliyehitimu chuo au aliyeajiriwa, mkatoliki mrefu wastani, mwenye bikra. sifa zangu mweupe kiasi, mkatoliki, miaka 28, nimeajiriwa, mrefu kiasi, mchaga. nahitaji nikimpata tufunge ndoa takatifu
Mchuchu huyo wa kwetutawire baba.........
za malimao mbona zipo nyingi tu..!!preta said:[color]tawire baba........./color]
mi Steve natafuta msichana mweupe, msukuma, miaka 19 hadi 23, aliyehitimu chuo au aliyeajiriwa, mkatoliki mrefu wastani, mwenye bikra. sifa zangu mweupe kiasi, mkatoliki, miaka 28, nimeajiriwa, mrefu kiasi, mchaga. nahitaji nikimpata tufunge ndoa takatifu
Mchuchu huyo wa kwetu
mi Steve natafuta msichana mweupe, msukuma, miaka 19 hadi 23, aliyehitimu chuo au aliyeajiriwa, mkatoliki mrefu wastani, mwenye bikra. sifa zangu mweupe kiasi, mkatoliki, miaka 28, nimeajiriwa, mrefu kiasi, mchaga. nahitaji nikimpata tufunge ndoa takatifu
Yaani mwanakwetu, twapishana tu maana siishi kuja nyumbani sema ndo tukapotezana.wakwetu........ni nini kujificha hivyo.......?......huyu anataka watu wakanunue mchaichai saa hii.........
Yah kaajiriwa paka Limao upate hiyo bahati...!!Mapi said:unahela???
bikra ya wapi??
Labda ya mdomoni