Natafuta msichana wa kuoa!

Dik

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2011
Posts
1,205
Reaction score
416
Naitw Peter wa masomoni dodoma!Najitokeza kwa dhamira ya kweli kbs ya kutfuta msichana ambaye ndani ya mwaka mmoja atakw tayr kuoana nami!wana jf niko serious kbs.awe na sifa zifuatazo;
1.umri 22-23
2.majikunde/mweupe
3.mkristo mcha Mungu
4.elimu kuanzia f4
awe na tabia njema
awe na kimo cha wastani.naomba uniandikie kupitia andrew.1985@yahoo.com.asante.tafadhal km huna nia toka moyon usitanie wala kutukana
 
wee ni mafia?

id yako dik, unaitwa Peter, email andrew, duh!

Afu Id yako inaogopesha kutamka gizani hasa kama mnaongea kiinglish.
 
Me niko tayari, ILA sipendi mapenzi ya kuulizana ulizana mara uko wapi muda huu, uko na nani, kushikiana simu, kusoma meseji, kujua nani ka call, kuninyang'anya simu n.k.... in short sipendi yale mapenzi ya kubanana kama inzi had uhuru binafsi unakosekana! sipendi mapenzi ya KIKANUMBA hadi kufikia hatua ya kufight.....ehe unasemaje hapo?
 
wee ni mafia?

id yako dik, unaitwa Peter, email andrew, duh!

Afu Id yako inaogopesha kutamka gizani hasa kama mnaongea kiinglish.
Mmmmhhh, Kongosho we nae! lolest
Mbona hujamwambia Dick Sheney hivo?
 
mke mwema anatoka kwa bwana siyo JF
 

Kwa limitation hizi sijui kama utapata mume, laba kwangu ambaye nataka kuongeza wa pili, uko tayari pia???
 
mke mwema anatoka kwa bwana siyo JF
ni kweli mke mwema anatoka kwa mungu ila watu wanakutana in different way so ukute mke wake atampata uku but amshirikishe mungu katika hilo pia.
 
All the best, broda.BUT usijifunge sana angalia pia nyuma yako, mbele, kulia na kushoto may be she is there too!
 
Wema kabaki mpweke vp atakufaa maana kanumba amemuacha rasmi! kwa lulu sikushauri kwani atakukanumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…