natafuta msichana wa kuwa nae kwa mahusiano ya muda mrefu..

moses28

New Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
3
Reaction score
0
hellow,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 ni mwanafunzi wa chuo flani,nahitaji msichana wa kuwa nae for long term relationship umri usizidi miaka 25,awe mtu wa kujituma na muelewa,for more details unaweza ukani PM au ukavisit benswagg@rocketmail.com,ur warmly welcome ladies...
 
Seems hii njia inalipa,i will give a shot one day:A S shade:
 

Je unatafuta wa kula starehe au wa kuoa? Nauliza mapema ili atakayejikoki asijerudi kuomba msaada kapotezewa muda..Swali la mwisho vp chuo hujaona hata mmoja? au cv haisomeki? Nijibu please nikusetie kiduchu.
 

umalaya tu umechoka wa huko mtaani umeamua hadi JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…