Natafuta Msichana wa Kuzaa Nae Mtoto Wa Nje (Backup)

Natafuta Msichana wa Kuzaa Nae Mtoto Wa Nje (Backup)

Wombolombo

Member
Joined
Nov 27, 2012
Posts
96
Reaction score
20
Ndio! natafuta mdada/msichana wa kuzaa nae mtoto wa nje kama backup maana Dunia imejaa majanga tele.

atakayekuwa interested ani PM kwa ajili ya mchujo maridhawa..
 
Mmu never bored

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Ndio! natafuta mdada/msichana wa kuzaa nae mtoto wa nje kama backup maana Dunia imejaa majanga tele.

atakayekuwa interested ani PM kwa ajili ya mchujo maridhawa..


Umesahau kuweka budget ya tukio zima + fringe benefits kwa muhusika.
 
Hauendi kufanya mtihani leo wa darasa la 7? Au na wewe utachukua jina la mtu kama kigwangala?

=====================
Ukipata Ujumbe wa chuki matusi futa delete kabisa
=====================
 
Ndio! natafuta mdada/msichana wa kuzaa nae mtoto wa nje kama backup maana Dunia imejaa majanga tele.

atakayekuwa interested ani PM kwa ajili ya mchujo maridhawa..
saafi Broo... everything has a backup...
ila uwe na uwezo wa kusimamia show zote mbili...ila kumbuka kuanzia mimba mpaka ajifungue na atoke ndani, usishangae akaja kwako kudai haki yake ya kugegedwa...wanakua na munkari sana.
duh ilinipa shida nikajuta maana alikuja hadi geto kwa wife na hakuna aliyekubali kuondoka na nikakaa nao for a week ila kidogo ningekimbia nyumba...broo ni nomaaaa
 
Back
Top Bottom