Natafuta Mtaalam wa kukata Mti mkubwa bila kuathiri mazingira

Natafuta Mtaalam wa kukata Mti mkubwa bila kuathiri mazingira

nerilan

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2013
Posts
454
Reaction score
691
Habari yenu wakuu.

Niko Arusha, natafuta mtaalam wa kukata mti mkubwa ulio karibu na nyumba bila kuathiri mazingira yaliyo zungukwa na mti huo ikiwa ni pamoja na fence na miti midogo chini.

Mwenye utaalam huo kwa Arusha mjini aniPM.
 
Habari yenu wakuu.

Niko Arusha, natafuta mtaalam wa kukata mti mkubwa ulio karibu na nyumba bila kuathiri mazingira yaliyo zungukwa na mti huo ikiwa ni pamoja na fence na miti midogo chini.

Mwenye utaalam huo kwa Arusha mjini aniPM.
Atasema anajua hiyo kazi, mpe advance halafu mwisho anauangushia kwebye fence.

Hapo ni magereza tuuu ndiyo wanaoweza hiyo kazi watafute.ila wakipiga chini mti wote ni wao
 
Atasema anajua hiyo kazi, mpe advance halafu mwisho anauangushia kwebye fence.

Hapo ni magereza tuuu ndiyo wanaoweza hiyo kazi watafute.ila wakipiga chini mti wote ni wao
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]njaa mbaya
 
Huo ndo mti wenyewe
IMG-20221229-WA0011.jpg


Sent from my SM-N916S using JamiiForums mobile app
 
Kama uko Arusha naweza kukuelekeza anako patikana .
 
Atasema anajua hiyo kazi, mpe advance halafu mwisho anauangushia kwebye fence.

Hapo ni magereza tuuu ndiyo wanaoweza hiyo kazi watafute.ila wakipiga chini mti wote ni wao
Kweli mkuu. Magereza wanakata vizuri
 
Kata mwenyewe, anza na matawi ya juu kabisa, unashuka taratibu kwa kuyakata mpaka linabaki shina lenyewe.

Unalikata pia nusu/robo vyovyote tu, ukifika nusu chimba kisiki hicho uking'oe.

Ningekua Arusha ningekuja kula iyo pesa yako.
 
Nenda pale kanisa road [emoji2926] nyuma ya kanisa la Anglican, Kuna office za Taha. Ulizia mtu anaitwa Elia mkata Miti watakupatia mawasiliano yake.
NB : yeye hapatikani hapo ,ila nilahisi kupata sim yake hapo.
Shukran chief

Sent from my SM-N916S using JamiiForums mobile app
 
Sema Mkuu Hala hala Jirani,Isijekuwa ni sehemu ya Watu ya kutambikia.
 
Mkuu kuna wakata miti special wanaotumiaga Crane km mti ni mkubwa sana ili kuzuia magogo yasidondokee kwenye paa za nyumba

Ila gharama zao ziko juu san

Ofisi yao iko

Dar es salaam
Oyster bay

Near Morogogoro store
 
Mkuu kuna wakata miti special wanaotumiaga Crane km mti ni mkubwa sana ili kuzuia magogo yasidondokee kwenye paa za nyumba

Ila gharama zao ziko juu san

Ofisi yao iko

Dar es salaam
Oyster bay

Near Morogogoro store
Nilikuwa nina shida na wa huku Arusha. I wish ningepata wataalam wa namna hiyo
 
Back
Top Bottom