Upo wapi mkuu ili tuchangamkie hiyo tenda?.
Sawa sawa. Je wajua mtu/kampuni inayoweza kucheza na hii kitu?
Sawa sawa. Je wajua mtu/kampuni inayoweza kucheza na hii kitu?
Mcheki Bluray...anajua kila kitu yule
mbona vijana wa DIT wanacheza na hivyo vitu??, bongo siku hizi kila wataalam tunao, RUDINI tu homu tujenge nchi!!.
Yeah...Bluray ni kama "spana-malaya"....inafungua kila kitu. Tatizo yeye anapiga boksi kwa Obama. Nami natafuta mtu ambaye yuko bongo anifanyie hii kazi.
Ningeweza kupata wataalam wa kuitengeneza hii kitu huku kwa Obama mara moja. Tatizo kuisafirisha itakuwa zoezi (60x12 inches si mchezo). Kwa hiyo ndio maana natafuta fundi nyumbani.
Jamani natafuta mtaalam wa kutengeneza kitu kama hiki:
Mbona natafuta fundi aliyeko bongo ili anitengezee hiyo kitu kwa ajili ya matumizi ya huko nyumbani. Au unazungumzia nyumbani wapi tena?
DIT ndio kina nani? Una information zao (simu, website)?
Jaribu UD...kuna wanafunzi na wakufunzi wa electrical engineering wanaweza wakakusaidia sana..
aaah sana, vijana nawaaminia kwenye electronics.Yeah...hawa jamaa wanaweza wakacheza na hii tech. Ahsante GP