Natafuta mtaalamu wa kuandika academic proposal katika sector ya elimu

Mgoda simtwange

Senior Member
Joined
Sep 7, 2012
Posts
168
Reaction score
64
natafuta mtaalamu wa kuandika academic proposal ya kurasa 30 katika masuala ya elimu. (iwe na background, literature review na methodology). Materials yote ninayo na atafanya kazi bega kwa bega na mimi. Aliye tayari ani PM kwa mawasiliano na majadiliano zaid
 

acha ukanjanja kwanini usifanye mwenyewe?Da hapo mwenyewe unajiita msomi unataka udese acha uvivu
 
Sio uvivu wengine unakuta muda hana ile ideas anazo, ni kumsaidia tu kama kuna uwezekano!
 
acha ukanjanja kwanini usifanye mwenyewe?Da hapo mwenyewe unajiita msomi unataka udese acha uvivu

Acha kukurupuka, lakini pia acha wivu wa kike. Na kama wewe huna uwezo usiwazibie riziki watu wengine. Sio kila anayeandika academic proposal ni mwanafunzi/mwanachuo au msomi kama unavyofikiri wewe. wengine wanaandika kwa ajili ya kufanya research ili wafanye publication, wengine wengine kwa ajili ya kuongeza tu maarifa kwenye fani husika. After all hakuna researcher asiyeshirikisha watalaamu katika hatua fulani ya research yake hata kama ni Professor atapresent mbele ya hadhara ili akosolewe, atampa mwenzie amsomee nk lengo ni kuboresha kazi ili iwe na kiwango cha stahiki. Kibaya ni kuandikiwa kazi halafu ukiwa hujui unafanya nini. Spoon feeding. Lakini kama unamiliki idea, unajua unachotaka proposal ikizalishe, na unajua unataka kazi ya kiwango fulani cha ubora sioni kama ni shida. Na sifikiri kumpa anifanyie, ila nataka awe private supervisor nifanye nae kazi bega kwa bega ili tumalize ili tuendelee na mambo mengine.
 
Me nna uzoefu ambao naamini unafaa. Lakini nambie hyo proposal ni ya research ya level gan.. Maana mimi nna uzoefu wa research ya bachelor degree.. Ncheki abasikilimo@gmail.com
 
Nambie ndgu upo wapi ili hata kama sio mimi wapo watu nawafaham wataalamu wa mambo ya research. Master degree holders and Phd pia.
 
hakuna tatizo uta saidiwa kuandikiwa hiyo research proposal kuanzia chapter one ambapo ina background of the study, statement of the problems, rationale of the study, general and specific objective pamoja na maswali ya hizoobjective,conceptual framework, chapter two yenye key concept, theories of the study, theory, empirical literature review, information gap, chapter three yenye geographical location of the study, research design, type of data, sampling procedure, data collection procedure and methods, data analysis and presentation and limitation of the study, (NOTE hivyo vina endana na Guidelines ya chuo chako so kama tukikubaliana uje na Guidelines ya chuo chako), pia kama utahitaji kusaidiwa mpaka kwenye data analysis pia sawa kuanzia Descriptive statics analysis mpaka inferential statistics analysis... so unaweza nicheki kwa namba hizi 0754 660061 au 0786 660061, au vicentvicent31@gmai.com
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…