Natafuta mtaalamu wa kusafisha nyota

Natafuta mtaalamu wa kusafisha nyota

Joined
Jan 25, 2019
Posts
49
Reaction score
60
Wakuu vipi,

Natafuta mtaalamu konki anisaidie Kwa swala la usafishaji nyota. Kwa Zanzibar, mbeya au mwanza. Na pia kama una ufahamu wanakokwenda ma-stars kuoshewa nyota zao na kuimarisha mvuto, haswa Zanzibar.

Naomba nielekezwe. Sante.
 
Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu hata akamtoa mwanawe wa pekee, Ili wote wamwaminio wapete uzima wa milele. Mwamini Yesu mkuu.[emoji106]
 
Back
Top Bottom