Natafuta mtaalamu wa kutengeneza App na website

Natafuta mtaalamu wa kutengeneza App na website

Bata Boy Official

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
259
Reaction score
309
Habari wakuu?

Niende moja kwa moja kwenye mada husika.

Nina wazo zuri sana, ambalo nimeshaliandalia PROPOSAL tayari. Wazo hili utekelezwaji wake unahitaji APP na WEBSITE vyote kwa pamoja.

Ila kwa bahati mbaya mimi sio mtaalamu sana wa mambo ya CODING na PROGRAMMING LANGUAGES, hivo nilikua naomba kama kuna mtu yoyote hasa kijana mwenzangu mpambanaji na ambaye anajua na anajiamini yupo vizuri kwenye kutengeneza APP na WEBSITES anitafute, tukae na tushirikiane kwa pamoja kukamilisha wazo hili.

Kwa wewe uliyetayari naomba uni PM kisha tutaongea mengi zaidi.

NB: Sio kwamba nataka kukuajiri bali nataka tushirikiane kwa pamoja na rizki yoyote atakayoruhusu Mungu kupitia project hii tutagawana.

"To DARE is to DO"
"You wont know unless you try"

"Beginning is half done"
 
Idea ni stage nzuri hasa kama itakuwa distruptive.

Issue inakuja kwenye preliminary costs na charges.

Na pia ili iingie sokoni itahitajika marketing. Vyote hivyo vinahitaji pesa kianzio.

Kwahiyo idea na kuwa na programmer bila mtaji kianzio siyo mwisho wa matatizo.
 
Idea ni stage nzuri hasa kama itakuwa distruptive.

Issue inakuja kwenye preliminary costs na charges.

Na pia ili iingie sokoni itahitajika marketing. Vyote hivyo vinahitaji pesa kianzio.

Kwahiyo idea na kuwa na programmer bila mtaji kianzio siyo mwisho wa matatizo.
Sio kwamba nataka kuifanya mwenyewe,hapana, lengo ni kutengeneza prototype kisha kui-present kwa targeted people ambao nataka kuwauzia wazo hilo.
 
Sio kwamba nataka kuifanya mwenyewe,hapana, lengo ni kutengeneza prototype kisha kui-present kwa targeted people ambao nataka kuwauzia wazo hilo.
Na hii ni kwasabu mara nyingi wazo linalohusisha tech huwezi kuli-present likiwa kwenye makaratasi pekee.
 
Watu ni wezi, ukiwaonesha tu hiyo prototype wanaiba.

Kwani mpaka sasa kuna Apps ngapi kama Uber.
Duh kwahivo mkuu wewe unashauri vipi? Maana kwa mimi nnavyojua wazo nikilifanyia copyright/patenting mtu akilifanya namshtaki
 
Copyright unaweza kuifanya kwenye jina ila design watu wanakopi tu na huna cha kuwafanya.
Kitu nnachotaka kukifanya hakijawai fanyika kabla Tanzania, hivi itakuwa rahisi sana kum-sue mtu atakayechukua wazo langu.
 
Nafahamu kuhusu hizi huduma Mkuu ila mimi natafuta mtu na sio platform, coz kwa pamoja tutachambua proposal na kutengeneza kulingana na mazingira ya targetted company inavotaka, pia mtu huyo ndiye atahusika kujibu maswali wakati wa presentantion endapo wahusika watataka kujua zaidi.
 
Mkuu unataka mtu binafsi au Kampuni? Mkuu Nakushauri tafuta kampuni muingie mkataba kwaajili ya kutengeneza hiyo WEBSITE.
 
Mkuu unataka mtu binafsi au Kampuni? Mkuu Nakushauri tafuta kampuni muingie mkataba kwaajili ya kutengeneza hiyo WEBSITE.
Kama utakuwa unahitaji kampuni ipo kampuni ambayo imebobea katika masuala hayo ya kutengeneza WEBSITES. Nakuja PM tuyajenge.
 
Kampuni gani hiyo mkuu, nafikiri ukiitaja hapa itakua vizuri ili na mwingine ambaye atakuwa na malengo ya kufanya kama mimi apate pakuanzia, pili utakuwa umeisaidia hiyo kampuni kujulikana.
 
Kampuni gani hiyo mkuu, nafikiri ukiitaja hapa itakua vizuri ili na mwingine ambaye atakuwa na malengo ya kufanya kama mimi apate pakuanzia, pili utakuwa umeisaidia hiyo kampuni kujulikana.
Web Technologies Tanzania Limited iko pale jengo la KFC hotel gorofa ya 4. Ina wataalamu wazuri sana na wanatoa huduma nzuri sana mkuu. Kama upo interested zaidi njoo PM nikuunganishe na nao ili mpige kazi.
 
Web Technologies Tanzania Limited iko pale jengo la KFC hotel gorofa ya 4. Ina wataalamu wazuri sana na wanatoa huduma nzuri sana mkuu. Kama upo interested zaidi njoo PM nikuunganishe na nao ili mpige kazi.
Corner of Msimbazi/Livingstone street Kkoo.
 
Njia nzuri ni kuanza hiyo project then tafuta right investor ili aweze kuipeleka mbali zaidi, ukimpa equity share inakuwa nzuri. Ila usiuze wazo. Make it work.
 
Njia nzuri ni kuanza hiyo project then tafuta right investor ili aweze kuipeleka mbali zaidi, ukimpa equity share inakuwa nzuri. Ila usiuze wazo. Make it work.
Asante sana kwa ushauri mkuu.
 
Web Technologies Tanzania Limited iko pale jengo la KFC hotel gorofa ya 4. Ina wataalamu wazuri sana na wanatoa huduma nzuri sana mkuu. Kama upo interested zaidi njoo PM nikuunganishe na nao ili mpige kazi.
Asante kwa taarifa mkuu, hilo eneo nalifahamu, ntafika.
 
Back
Top Bottom