Heshima mbele wakuu,
Baada ya kuhangaika kutafuta kazi bila mafanikio yoyote,nimeona nitafute mtaji,naomba mdau yeyote anaweza kunisaidia mtaji wa fedha za kitanzania milioni 3,anisaidie
Binafsi nataka nifanye biashara ya vyakula vya nafaka,naomba wenye nia wanisaidie,
MUNGU AWABARIKI.nawasilisha
Baada ya kuhangaika kutafuta kazi bila mafanikio yoyote,nimeona nitafute mtaji,naomba mdau yeyote anaweza kunisaidia mtaji wa fedha za kitanzania milioni 3,anisaidie
Binafsi nataka nifanye biashara ya vyakula vya nafaka,naomba wenye nia wanisaidie,
MUNGU AWABARIKI.nawasilisha