Natafuta mtalaam wa kutafuta simu zangu mbili zilizoibiwa

Natafuta mtalaam wa kutafuta simu zangu mbili zilizoibiwa

mkamanga original

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2015
Posts
637
Reaction score
663
Habari wadau
Natafuta simu zangu mbili zilizoibiwa . Polisi waliniahidi kuwa zitapatikana lakini sasa nakaribia mwaka
Ila niliambiwa wapo vijana wa IT wanauwezo wa kutrack simu na kuzipata.
Naomba anayeweza aje inbox na naahidi zawadi nono itatolewa kwa sharti moja tu ya malipo ni baada ya kupatikana kwa simu hakutakuwa na malipo kabla ya kazi ,hii ni kwa sababu ya uwepo wa makanjanja kwenye taaluma hii ya Ma-IT
Anayeweza aje inbox tufanye
kazi, kila kitu kipo IMEI za simu zote mbili na Google account
 
Hapo nakukumbusha uandike aina ya zawadi isije kuwa zawadi ya viboko...be specific hyo ni Offer and Acceptance hapa naongea na watu wa sheria.
 
Habari wadau
Natafuta simu zangu mbili zilizoibiwa . Polisi waliniahidi kuwa zitapatikana lakini sasa nakaribia mwaka
Ila niliambiwa wapo vijana wa IT wanauwezo wa kutrack simu na kuzipata.
Naomba anayeweza aje inbox na naahidi zawadi nono itatolewa kwa sharti moja tu ya malipo ni baada ya kupatikana kwa simu hakutakuwa na malipo kabla ya kazi ,hii ni kwa sababu ya uwepo wa makanjanja kwenye taaluma hii ya Ma-IT
Anayeweza aje inbox tufanye
kazi, kila kitu kipo IMEI za simu zote mbili na Google account
Weka model za simu kwanza hapo
 
Back
Top Bottom