ni pm nikupe namba ya mtu anaye soma hiyo kozi sasa hiviHello great thinkers,
Tafadhali kama kichwa kinavyosema natafuta mtu yoyote aliyesoma au anaesoma course tajwa hapo juu (inatolewa na Geography Department); nina mpango wa kwenda kusoma hiyo course hivyo nahitaji kujadiliana naye mawili matatu. Asanteni kwa ushirikiano.