Natafuta mtu ambae anatoka Kigoma Ujiji, niko na kitu fulani nataki anisaidie

Natafuta mtu ambae anatoka Kigoma Ujiji, niko na kitu fulani nataki anisaidie

Herr muller

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2018
Posts
1,017
Reaction score
1,210
Habari zenu wakuu, natafuta mtu ambae anatoka kigoma ujiji, niko na kitu fulani nataki anisaidie nae, nataka aende hapo ofisi za kigoma ujiji au kaa kuna mtu anajua nae hapo ofisi za kigoma ujiji amuombe KIGOMA UJIJI INVESTORS GUIDE 2017, alafu anitumie kwa email yangu keruguya555@gmail .com kwa njia ya PDF FORMAT, na ninakuhakikisia ya kwamba nitakupa zawadi mkuu, nataka fanya investment hapo kigoma lakini hii pdf format najaribu kuidownload lakini inagoma, lakini mtu ambae anafanya kazi hapo kigoma ujiji au mtu anajuana na mtu anafanya kazi hapo kigoma ujiji anaweza nisaidie kwa kunitumia kupitia hii email yangu, na narudia iko zawadi kubwa kwa yoyote atakaenisaidia fanya hivyo, mubarikiwe sana wakuu
 
Habari zenu wakuu, natafuta mtu ambae anatoka kigoma ujiji, niko na kitu fulani nataki anisaidie nae, nataka aende hapo ofisi za kigoma ujiji au kaa kuna mtu anajua nae hapo ofisi za kigoma ujiji amuombe KIGOMA UJIJI INVESTORS GUIDE 2017, alafu anitumie kwa email yangu keruguya555@gmail .com kwa njia ya PDF FORMAT, na ninakuhakikisia ya kwamba nitakupa zawadi mkuu, nataka fanya investment hapo kigoma lakini hii pdf format najaribu kuidownload lakini inagoma, lakini mtu ambae anafanya kazi hapo kigoma ujiji au mtu anajuana na mtu anafanya kazi hapo kigoma ujiji anaweza nisaidie kwa kunitumia kupitia hii email yangu, na narudia iko zawadi kubwa kwa yoyote atakaenisaidia fanya hivyo, mubarikiwe sana wakuu



Mkuu Karuguye, kusema tu utatoa zawadi hiyo haitoshi, yakupasa uanishe hiyo zawadi ili wahusika waijue ili wapate moyo wa kukusaidia.
 
Mkuu Karuguye, kusema tu utatoa zawadi hiyo haitoshi, yakupasa uanishe hiyo zawadi ili wahusika waijue ili wapate moyo wa kukusaidia.
Haya mkuu wewe unaweza fanya hio kazi, uko kigoma au
 
PM yako imefungwa ningekutumia contacts za viongozi wa pale ili uwaeleze hitaji lako.
 
PM yako imefungwa ningekutumia contacts za viongozi wa pale ili uwaeleze hitaji lako.
what do you mean by PM, and aslo i have tried in vain to write to kigoma ujiji council without success, and i have aslo written to mhe zitto kabwe via his fb page an he seems not to care, but this is something i have really noted with most gava offices in tz, they really dont care AT ALL ABAUT CUSTOMER CARE.so i thank you for your intent to help sir, be blessed.
 
what do you mean by PM, and aslo i have tried in vain to write to kigoma ujiji council without success, and i have aslo written to mhe zitto kabwe via his fb page an he seems not to care, but this is something i have really noted with most gava offices in tz, they really dont care AT ALL ABAUT CUSTOMER CARE.so i thank you for your intent to help sir, be blessed.
Mkuu si uandike tu kwa kiswahili mambo ya kutuandikia ASLO yanatia ukakasi
 
what do you mean by PM, and aslo i have tried in vain to write to kigoma ujiji council without success, and i have aslo written to mhe zitto kabwe via his fb page an he seems not to care, but this is something i have really noted with most gava offices in tz, they really dont care AT ALL ABAUT CUSTOMER CARE.so i thank you for your intent to help sir, be blessed.

Noana umeongea Lugha ya wawekezaji mkuu
 
i am not that good in swahili, but did you get my point abaut my need sir, coz thats what is all important
Acha longolongo mkuu, mwekezaji huwa anaenda mwenyewe eneo la tukio siyo kusoma kwenye gazeti. Niinbox namba yako nikutumie hiyo Guide whatsapp
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Back
Top Bottom