unakopesheka???
Mie nafikiria ungeweka wazi angalu juu juu kwanini unakopa hizo pesa,ili watu wenye huruma wafanye huruma yao.
Maana humu kuna watu wanaomba kukopa na wanatoa sababu zao,lakini ukificha hivyo watu wanatafsiri vingine.
Kukopa kwa shida sio aibu kila mtu ana madeni siku hizi,kazi ni kukopa huku na kuhamisha deni kule
weka picha
Vumilia shida mamaangu riba ni haramu na ni katika yale madhambi makubwa. Ushauri tu manake kila mtu atabeba mzigo wake mwenyeweNina shida ya dharura imenipata nahitaji million moja niweze kuikabili. Nitairudisha mwezi july kabla ya tarehe 15. Naomba mnitumie email mnaokopesha kwa riba ili tuongee mtani charge riba kiasi gani? Email yangu ni ak_abduel@yahoo.com ( herufi ndogo). Asante
weka picha[/QU
acha usenge wewe mwenzio anashida wewe unaleta ukameruni wako hapa pumbaf sana