Natafuta mtu anayeweza kulima kilimo cha muda mfupi (mboga mboga)

Natafuta mtu anayeweza kulima kilimo cha muda mfupi (mboga mboga)

bagamoyo1

Member
Joined
Jan 4, 2012
Posts
48
Reaction score
17
mimi ni mjasiria mali , nimebahatika kila ninachofanya kinafanikiwa lakini siwezi kufanya kila kitu mwenyewe inabidi vyengine niwashirikishe watu , ninashamba kubwa hapo kiromo bagamoyo na ninafuga ngombe 80 ,mbuzi 20 kuku bata .

natafuta partner kwenye kilimo cha mbonga mboga , nitatowa ardhi , mbolea ya kinyesi cha ngombe na nitamchimba kisima kwa ajili ya umwagiliaji nitatowa generator kwa ajili ya kuyavuta maji ,

yeye awe na taaluma ya kilimo au mzowefu wa kulima kwa muda mrefu , itakuwa vyema kama ni mtaalamu wa (horticulture )
awe na uwezo wa kuja hapo shamba na kujituma , mchango wake utakuwa ni kuweka petrol ya kupampu maji na kulipa gharama za kulima na usimamizi baada ya gharama hizi tukivuna tunagawana faida niko tayari kumpatia aslimia 60% na ninalo soko na mazao kama kama nyanya , biringani, spinach , pili pili hoho , bamia ,maharage kijani , saladi matunda ya peshen na kadhalika

kwa mawasiliano ya awali karibu ukumbini hapa
 
Mkuu vp, nilipost hapa lakini naona Kimnya, nilikuwa nahitaji sana hii nafasi
 
mimi ni mjasiria mali , nimebahatika kila ninachofanya kinafanikiwa lakini siwezi kufanya kila kitu mwenyewe inabidi vyengine niwashirikishe watu , ninashamba kubwa hapo kiromo bagamoyo na ninafuga ngombe 80 ,mbuzi 20 kuku bata .

natafuta partner kwenye kilimo cha mbonga mboga , nitatowa ardhi , mbolea ya kinyesi cha ngombe na nitamchimba kisima kwa ajili ya umwagiliaji nitatowa generator kwa ajili ya kuyavuta maji ,

yeye awe na taaluma ya kilimo au mzowefu wa kulima kwa muda mrefu , itakuwa vyema kama ni mtaalamu wa (horticulture )
awe na uwezo wa kuja hapo shamba na kujituma , mchango wake utakuwa ni kuweka petrol ya kupampu maji na kulipa gharama za kulima na usimamizi baada ya gharama hizi tukivuna tunagawana faida niko tayari kumpatia aslimia 60% na ninalo soko na mazao kama kama nyanya , biringani, spinach , pili pili hoho , bamia ,maharage kijani , saladi matunda ya peshen na kadhalika

kwa mawasiliano ya awali karibu ukumbini hapa

Hapo mbona unatutisha?
 
mimi ni mjasiria mali , nimebahatika kila ninachofanya kinafanikiwa lakini siwezi kufanya kila kitu mwenyewe inabidi vyengine niwashirikishe watu , ninashamba kubwa hapo kiromo bagamoyo na ninafuga ngombe 80 ,mbuzi 20 kuku bata .

natafuta partner kwenye kilimo cha mbonga mboga , nitatowa ardhi , mbolea ya kinyesi cha ngombe na nitamchimba kisima kwa ajili ya umwagiliaji nitatowa generator kwa ajili ya kuyavuta maji ,

yeye awe na taaluma ya kilimo au mzowefu wa kulima kwa muda mrefu , itakuwa vyema kama ni mtaalamu wa (horticulture )
awe na uwezo wa kuja hapo shamba na kujituma , mchango wake utakuwa ni kuweka petrol ya kupampu maji na kulipa gharama za kulima na usimamizi baada ya gharama hizi tukivuna tunagawana faida niko tayari kumpatia aslimia 60% na ninalo soko na mazao kama kama nyanya , biringani, spinach , pili pili hoho , bamia ,maharage kijani , saladi matunda ya peshen na kadhalika

kwa mawasiliano ya awali karibu ukumbini hapa


Dah!! Mzee, Mbona unatupa Offer ya shughuli na Mikwara Juu!
 
wanaseam ulimi hauna mfupa , sasa hapa sijuwi ni vidole au macho hayakuona ??? NITACHIMBA KISIMA karibuni bagamoyo shambani kwangu hungongei mvua bali unaamua umwagiliaje mmea wako
 
Bagamoyo1 hili lilikuwa bonge la offer! Ilikwenda vipi, nina hamu tuya kujua namna Waswahili tulivypokea offer hii; ni ya zamani lakini imenivutia kutak kujua feedback ilivyo kuwa na maendeleo baada ya hapo. Samahani kwa kukurudisheni nyuma sana wana JF.
 
mimi niko tayari,ni mkulima wa muda mrefu wa nyanya,spinach,chainiz,pilipili hoho,matango,karoti,bamia,mchcha nk..nichek kupitia 0653855285
 
Back
Top Bottom