Natafuta mtu serious tufanye kilimo, shamba kubwa lipo Ruvu

Natafuta mtu serious tufanye kilimo, shamba kubwa lipo Ruvu

ntmgenesis

Senior Member
Joined
Apr 22, 2010
Posts
167
Reaction score
30
Kama nilivyo dokeza hapo kwenye heading yangu ni kwamba natafuta mtu ambaye yuko serius and committed ili tuweze kufanya naye kilimo cha biashara (agribusiness); tutaanza na kilimo cha mazao yanye kutoka haraka na yenye faida ili tuweze kutengeneza mtaji wa kufanya kilimo kikubwa na kama tukianza mapema by Dec 2014 tutakuwa tunajiandaa na large scale farming.

Shamaba lipo ni kubwa nguvu yetu tu mashine ndogo nchi tatu ya kumwagilia na jembe la kukokotwa na ng'ombe kule wakulima na ng'ombe wanapatikana.

Mwenye kuhitaji please tuwasiliane through this email ntmgenesis@yahoo.com

Pia nahita mawazo wadau wana JF ardhi ya kule ina lutuba ya kutosha na hali ya hewa ni conducive mazao mengi yanastawi hata tumbaku .
 
Kama nilivyo dokeza hapo kwenye heading yangu ni kwamba natafuta mtu ambaye yuko serius and committed ili tuweze kufanya naye kilimo cha biashara (agribusiness); tutaanza na kilimo cha mazao yanye kutoka haraka na yenye faida ili tuweze kutengeneza mtaji wa kufanya kilimo kikubwa na kama tukianza mapema by Dec 2014 tutakuwa tunajiandaa na large scale farming.

Shamaba lipo ni kubwa nguvu yetu tu mashine ndogo nchi tatu ya kumwagilia na jembe la kukokotwa na ng'ombe kule wakulima na ng'ombe wanapatikana.

Mwenye kuhitaji please tuwasiliane through this email ntmgenesis@yahoo.com

Pia nahita mawazo wadau wana JF ardhi ya kule ina lutuba ya kutosha na hali ya hewa ni conducive mazao mengi yanastawi hata tumbaku .

Good plan. Shamba lina ukubwa gani? Liko umbali gani toka bara bara kuu?
 
Mkuu mi nimevutiwa na nipo tiari kuonana na hatimae haraka sana tuanze huo mchakato.
Mkononi nina waterpump 3" watering canes8 kwajili ya kumwagilia vitaru, mashine za kupulizia dawa2, etc vinavyohusiana na kilimo plus uzoefu binafsi wa masuala ya kilimo cha bustani, tumbaku na mazao mengine.
Kifupi ni kwamba i am full equiped physcally and mentally fit na ni mzoefu wa kuishi mashambani ndani ndani maporini huko.
Tuwasiliane mkuu.
 
Back
Top Bottom