Shebby Pallah
Member
- May 1, 2017
- 29
- 17
Sina lakini kwa kushirikiana tunaweza tafuta sehemu za kupelekaUna sehemu maalumu ya kupeleka?
Nakushauri uanze mwenyewe kwani biashara ya matunda ni ndogo sana kufanya kwa kushirikiana na mtu, ila ninachokushauri kila kazi inahitaji ujuzi hivyo kabla ya kuanza tafuta mtu akupe muongozo namna ya kununua, kauandaa pamoja na kuhifadhi.Mimi nipo mbagala natafuta mtu tushirikiane tufanye biashara matunda tunayaweka kwenye package nzuri pamoja kutengeneza juisi za matunda kama upo interested nipm au whatsapp 0658495324
Karibuni
Tatizo hamjaliona,kama sikosei anataka mwekezaji,yaani utoe capital,yeye atoe manpower
Tatizo pa kuipata hiyo 20,000/= sasa,kwa wengine ni ishu,atapiga vibarua tuseme perday 5000,hapo akila akitoa nauli lini anabaki na hela ya kudunduliza afikishe 20000?