Hujalazimishwa kuwa rafiki yangu unatakiwa stegi ya umri lazima ujitambue wewe ni mtu mzima nawatu waliokuzunguka,watakuonaje humu ni kama,sehemu inayokuzunguka ukiongea ujinga siku upo serious na jambo watatokea wajinga zaidi yako.tatzo katumia style ya kishoga et mi mwanamke best! mmmmm!!!! mashoga wa tanga wanalitumia hilo neno ''best'' sana
sijakuelewa na wala sijui kama wewe mwenyewe unakielewa ulichoandikaHujalazimishwa kuwa rafiki yangu unatakiwa stegi ya umri lazima ujitambue wewe ni mtu mzima nawatu waliokuzunguka,watakuonaje humu ni kama,sehemu inayokuzunguka ukiongea ujinga siku upo serious na jambo watatokea wajinga zaidi yako.
Kila mahala mtu anatakiwa angalie anachoandika nakusema
Ya wapiJe ss wa pembezon
Ana maana sisi wa Nachingwea ndo hatuna nafasi ..!?Ya wapi
Abeeh Antonio
HahaaaAtakayeingia kwenye huu mtego lazima ajiandae kutuma na ya kutolea. [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuja mbio kidogo nifunjike mguu kuna nini huku