Natafuta mtu wa kufanya biashara!

Isaac23

Member
Joined
Feb 27, 2018
Posts
13
Reaction score
0
Habari wadau
Nina Mashine ya popcorn mpya inatumia umeme! nahitaji mtu wa uifanyia kazi. Awe mwaminifu. Nipo Lushoto Tanga. mahali pa kazi sio lazima huku maana huku mim nipo kwa muda ntaondoka. mwenye utayar tutafutane tushauriane wapi pa kufanya kazi na mm nitakuwa na pita pita zingine ndio maana nakosa muda wa kutulia kufanya hii kazi.
Ahsanteni
 
Nimekuja PM nikuunganishe fasta tangu Asubuh kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…