natafuta mtu wa kufanya nae biashara nchini mozambique,nina idea ya biashara ila tatizo ni mtaji,nina idea ya biashara kwa bidhaa zifuatazo,nguo za kiume na za kike pamoja na za watoto,viatu vya kike na vya kiume,wax,simu,nk,au kama kuna biashara ulionayo sijaiandika hapo unaweza kuniambia then nitakwambia kama inasoko tufanye kazi,kwa wale mlioko nje ya tz na mna bidhaa kama izo kama mtaniamini basi tutafanya kazi,na hata mliopo tz pia inawahusu kwani ni moja ya kupanua wigo wa biashara,msikae na mamizigo kibao stoo wakati kuna sehemu zinahitaji bidhaa,atakaeniamini namba yangu ni 0718375766..