Natafuta mtu wa kufanya naye Partnership

Glas

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2016
Posts
1,243
Reaction score
1,186
Habari za jioni wadau!
Niliwahi kuandka hapa jukwaan kuelezea kuhusu kuhitaji mtu ambaye tunaweza anzisha tuition centre. Nimepata mtu lakini naona hayuko serious, kwa post hii naomba watu walio serious tuifanye hii job. Sehemu nliyoichek ni very marketable! N Morogoro municipal. Nichek 0693208209. Ajira hakuna let's fight ourslves!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…