Natafuta mtu wa kunibeba UDSM main campas

kalipeni

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
1,571
Reaction score
1,328
Kwanza hongera kwenu vijana mliochaguliwa UDSM mlimani campas. Ila ninachopenda kuwaambia UDSM ina mazingira mazuri sn ya kusoma lakini sio kupiga usingizi kwani kubebana ni jambo la kawaida kwaiyo naomba atakaepata room main campas anibebe. Mimi ni kijana wa kiume nasoma PSPA mwaka wapili.
 
We mtvbase. Achaga dandia mada ambayo hujua utakuj pata aibu ww ---- la mmko.
 
kubebana ndo nini..??.hahah

Kubebana ni ile hali ya kulala wawili hii inafanyika sana udsm kwa sababu ya uhaba wa hosteli kwahyo ni normal issues mana first year tu ndo wanapata rooms na ma finalist wachache
 
Kubebana ni ile hali ya kulala wawili hii inafanyika sana udsm kwa sababu ya uhaba wa hosteli kwahyo ni normal issues mana first year tu ndo wanapata rooms na ma finalist wachache

dah kumbe!!! nilikua silijui hili... hahhhaha
 
Naomba niulize,mwanamke anaweza kumbeba mwanaume hapo chuoni.
 

campas=campus!?
 
mbona me najuaga PSPA ni watu wenye akili na wapenzi wa tafakuri tunduizi....imekuaje sasa wewe.....acha woga wa maisha ww....embu nunua kitanda kwa first year au kapange....mambo gani hayo ya kubebeana....vitanda vyenyewe vikwapi vya kufanya hvo.....huko ni kuinvite tabia za kibasha......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…