NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
Khaaaa. . . kumbe uko hai NE?
Karibu tuomboleze jamvini.
duh. . . . . !
He jamani Lizzy, nimekumiss, mwenzio nilipigwa ban ya miezi sita. Ndo nimerudi jamani mjengoni jamani
Kumbe? Pole mwaya. . . usirudie tena kosa.
3. Awe anajua mapenzi ya aina zote outward and inward.
Mbona Unakuja Mwisho wa mwezi? We mwenyewe upo vipi? Unatazamika?
mmh, hapa panahitaji ufafanuzi kidogo
Kwa hiyo katika kutumikia bann ujapata mtu baada ya kumuacha mpenzi wako wa kitambo.
Ingekuwa vizuri kama ukiweka sifa zako pamoja na picha kama vipi ili tujue kama unafaa kuwa kimada au wakumalizana leo leo tu.Nilikuwa na mpenzi wangu tumekaa miaka miwili ila sasa tumeshindwana.
Natafuta mtu wa kuniweka kimada/nyumba ndogo na awe na sifa zifuatazo
1. Handsome
2. Awe na uwezo wa kawaida - ka gari siyo mbaya
3. Awe anajua mapenzi ya aina zote outward and inward
4. Asiwe na familia kubwa sana, mtoti mmoja
Ambaye yuko interested ani PM fasta.
NE
Nilikuwa na mpenzi wangu tumekaa miaka miwili ila sasa tumeshindwana.
Natafuta mtu wa kuniweka kimada/nyumba ndogo na awe na sifa zifuatazo
1. Handsome
2. Awe na uwezo wa kawaida - ka gari siyo mbaya
3. Awe anajua mapenzi ya aina zote outward and inward
4. Asiwe na familia kubwa sana, mtoti mmoja
Ambaye yuko interested ani PM fasta.
NE