Natafuta mtu wa kuniweka kimada.

Status
Not open for further replies.
Jina tu linaogopesha je! 2kimeet, utadai NOT ENOUGH
 
Infiiiiii....
 
hiyo outward na inward uitakayo ni nyuma na mbele au mbele tu?
wewe unafaa.
 
Jamani huku JF kuna kila aina ya vituko..Yan ukiingia humu hata kama una hasira utacheka mwenyewe...
 
..hakuna kazi ngumu kama ya sita kwa sita, wanaume wengi hawawezi kufanya hyo kitu...just suruali tu
 
Kama hiyo avatar ndio wewe mwenyewe, sema niku pm sasa hivi. Kama hiyo avatar siyo yako nitumie picha yako kwa pm, nifanye tathmini.
 
muogope Mungu dada, mi nakuombea upate wako atakayekupenda kwa dhati ukawa naye kwa muda mrefu, kuliko kutafuta mtu ambaye ana mke/uhusiano wake, atakuliza mwaya! usikubali kabisa kuchezewa ndugu yangu kwani mwili wako ni wa thamani sana kama ulikuwa hujui...tulia tu Mungu atakujaalia atakayekufaa na siyo humu jf usije ibua kimeo ukapata presha bure...ya nini yote hayo!!!!Mrudie Mungu wako ukimada ni DHAMBI hata kwa Mungu...ogopa sana!
 
..hakuna kazi ngumu kama ya sita kwa sita, wanaume wengi hawawezi kufanya hyo kitu...just suruali tu
Nadhan ungesema hao wanaume uliyokutana nao hawajakukita vya kutosha ikibid ata kwa kutaja majina lakin sio kugeneralize
 
......eeeh!
Kazi kwenu wadau
LoL
 
Vibinti vya FB mnapenda sana kulelewa
 
Wewe umetoa vigezo unavyotaka sasa utuambie na wewe upoje coz na sisi tuna vigezo vyetu tunavyovihitaji tena kimada kinatakiwa kiwe hot kuliko wife wa home je wewe unavyo vigezo???
 
Hii request imekaa kama haiko sawasawa...kwanini unalimit namba ya watoto ya buzi lako?
 
Mmoja anasema hawezi na hatamani kuolewa mwingine anatamani kuwekwa kimadah!, hawa wenzetu wapo na dunia yao wanayoishi na wanajijua KhA!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…