Wacheki hao jamaaEneo sio langu peke yangu ni la familia tumerithi na mimi ndio msimamizi wa mirathi, tumegawana vipande vya ardhi ili kila mtu apate sehemu ya kumuingizia kipato.
Nyaraka muhimu zote zipo.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Wako hukohuko Kigamboni ni kampuni kubwa tu ya kibiashara
Nafikiri maeneo ya karibu na Maweni na Mji Mwema kwa mbele wana ofisi zao kama sikosei