Wee kumbee?!!🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nini kimekukuta huko PM hadi unasisitiza "umakini"??Na umpate anaejielewa..kuwa makini!
Haya bhanasijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu,
Kuna Imam wa msikitini anatafuta mke wa pili, kama upo tayari nikuoze.Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante.
Mimi hapa nipo Shinyanga nitafute asajiles914@gmail.com kwenye hiyo emailMimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante.
Kuna Imam wa msikitini anatafuta mke wa pili, kama upo tayari nikuoze.
Tena na kazi atakupatia hapohapo msikitini.
Mcha Mungu, halewi, havuti sigara, yeye ni mkulima na Imam wa msikitini. Nikuunganishie Mkuranga hiyo, tena utakuwa jirani yangu, maana yeye ndiyo Imam wa msikitini kwetu hapa.
Miaka 36 masharti kibao, Mnapenda wenye vipato vizuriNatafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante.
Nani alikuambia nataka kuolewa mke wa pili? Mtafutie ustadhati umpelekee sawa wewe keeee.....Kuna Imam wa msikitini anatafuta mke wa pili, kama upo tayari nikuoze.
Tena na kazi atakupatia hapohapo msikitini.
Mcha Mungu, halewi, havuti sigara, yeye ni mkulima na Imam wa msikitini. Nikuunganishie Mkuranga hiyo, tena utakuwa jirani yangu, maana yeye ndiyo Imam wa msikitini kwetu hapa.