Natafuta mume, awe HIV+

Kila la kheri na Mungu akutangulie katika haja ya moyo wako.

Siku nitakayopata ujasiri wa kupima labda ndio siku nitakapokuwa nimeshakupoteza....

Mimi kupima labda nishikiwe mtutu wa bunduki huku nikibebwa na greda la Manispaa ya Kinondoni.....
Hahaha Mangi una vituko
 
Kuna dada mmoja hapa mtaani kwetu by they ni mwajiriwa wa serikali ila ilo figure sasa uwiiiiiiiiiii kwani UKIMWI Shingapi ni bonge la dada mimi leo hii napiga bila shida yoyote ila ndomu muhimu.

Ishi kwa raha zako kuwa na AIDS ni fresh tu.
 
Kuna dada mmoja hapa mtaani kwetu by they ni mwajiriwa wa serikali ila ilo figure sasa uwiiiiiiiiiii kwani UKIMWI Shingapi ni bonge la dada mimi leo hii napiga bila shida yoyote ila ndomu muhimu.

Ishi kwa raha zako kuwa na AIDS ni fresh tu.
Ndio,Copa cabana
 
Amina.
 
Amen,umejiwekea akiba kwa wema wako.ubarikiwe.
 
Pole , nakuombea utapata
 
Kuna dada mmoja hapa mtaani kwetu by they ni mwajiriwa wa serikali ila ilo figure sasa uwiiiiiiiiiii kwani UKIMWI Shingapi ni bonge la dada mimi leo hii napiga bila shida yoyote ila ndomu muhimu.

Ishi kwa raha zako kuwa na AIDS ni fresh tu.
Aisee. omba tu hivohivo ulivoomba kimoyomoyo
 
Kuna dada mmoja hapa mtaani kwetu by they ni mwajiriwa wa serikali ila ilo figure sasa uwiiiiiiiiiii kwani UKIMWI Shingapi ni bonge la dada mimi leo hii napiga bila shida yoyote ila ndomu muhimu.

Ishi kwa raha zako kuwa na AIDS ni fresh tu.
Mmh mkuu wew jasiri aisee,
 
Hongera sister, wote tungekuwa hivi wala transmission isingekuwa kwa kiwango kikubwa sana.

Utapata hata -ve sio lazima awe +ve, kila la heri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…