Natafuta mume mkristo

wanaume walio na huo umri ulioutaja walio wengi wameoa, punguza umri iwe kuanzia miaka 18-34 uone kama kesho tuu haujaanza vikao vya ndoa na kuunda kamati[emoji7][emoji7][emoji7]

Ukipunguza umri na mm piah ntakuwa mmoja kati ya wavulana watakaonufaika na mpango wako wa punguzo la miaka..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vp namba ya simu
 
 
Mimi natafuta mwanamke wa kudanga uko tayari??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…