Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
[emoji3][emoji3][emoji3] haijazaa eti..usijali nikipata hapa nitakupasiaIle CV uliyoleta Kule ya tetema haijazaa matunda dear?, nilihisi ushapata wengi unipasie dooh[emoji3][emoji3]
Kaongo wewe nimekushtukiaa, nani asopenda tetema, uliwapata wengi ila hukutaka tu kunipasia sawa tuu😀😀[emoji3][emoji3][emoji3] haijazaa eti..usijali nikipata hapa nitakupasia
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] tatizo hawakua walokole ..[emoji1787][emoji1787] Kama utataka wasiookoka nitakupasia wakija tenaKaongo wewe nimekushtukiaa, nani asopenda tetema, uliwapata wengi ila hukutaka tu kunipasia sawa tuu[emoji3][emoji3]
Hahaaa, nipasie yeyote tu hata asiye mlokole nihangaike naye sichaguii😀😀[emoji23][emoji23][emoji23] tatizo hawakua walokole ..[emoji1787][emoji1787] Kama utataka wasiookoka nitakupasia wakija tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha hzo fungua uz wko
Hiyo shape kwenye avatar kama ni wewe ndio ugonjwa wangu nipo tayari kugharamia huduma zote
Tafta hela kwanza mchaga gani huna helaMangi ya rombo ninaetumia jina halisi niko hapa sasa.
Mangi nisie na longolingo nimeingia,, achana na hao wajinga wajinga.
Karibu PM sasa tuyajenge
Sent using Jamii Forums mobile app