Natafuta mume Muislam

Natafuta mume Muislam

Ummuu

New Member
Joined
Jul 29, 2021
Posts
1
Reaction score
7
Habarini.
Kichwa Cha habari kinajieleza.
Sifa zangu:-
-nina miaka 33
-nina mtoto mmoja Alhamdulilah.
-mpole,msikiv,mchesh.

Sifa za nimtakae:-
-kuanzia 34-45
-muslim
-ukiwa na watoto sawa na nitawalea vizuri

Nb:- kupima afya ni lazima hivo tutapima inshaAllah.

Karibu ewe laaziz tumalizie maisha pamoja kwa furaha na upendo.😍😍
 
Me hapo kwenye dini tu[emoji119] hivyo vingine nnavyo
 
Baba wa mtoto yu hai au kafariki?
Kama yu hai HAPANA!
Kama kafariki je kaburi li wapi?

Nina watoto nane kwa mama tofauti je upo tayari?
 
Habarini.
Kichwa Cha habari kinajieleza.
Sifa zangu:-
-nina miaka 33
-nina mtoto mmoja Alhamdulilah.
-mpole,msikiv,mchesh.

Sifa za nimtakae:-
-kuanzia 34-45
-muslim
-ukiwa na watoto sawa na nitawalea vizuri

Nb:- kupima afya ni lazima hivo tutapima inshaAllah.

Karibu ewe laaziz tumalizie maisha pamoja kwa furaha na upendo.😍😍
Dear niko hapa, sifa zote ulizotaja ninazo, mimi ni wako naomba tuwasiliane tuanzishe maisha mapya.
 
Hawa singo maza ni noma,
japo mm sina sifa
JamiiForums388017043.jpg
 
Back
Top Bottom