Akisema kadedi usisahu kumuuliza sababu ya kifo... isije ikawa baada ya kuugua muda mrefu...Baba wa mtoto yuwapi?
Tuanzie hapo.
Akikujibu nishtue mkuuBaba wa mtoto yuwapi?
Tuanzie hapo.
Pia kuona kaburi la marehemu ni muhimuAkisema kadedi usisahu kumuuliza sababu ya kifo... isije ikawa baada ya kuugua muda mrefu...
Binafsi mimi kilichonikosesha mke hapa ni kitimoto....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baba wa mtoto bado yupo hai?
Akijibu nitagBaba wa mtoto yuwapi?
Tuanzie hapo.
Dear niko hapa, sifa zote ulizotaja ninazo, mimi ni wako naomba tuwasiliane tuanzishe maisha mapya.Habarini.
Kichwa Cha habari kinajieleza.
Sifa zangu:-
-nina miaka 33
-nina mtoto mmoja Alhamdulilah.
-mpole,msikiv,mchesh.
Sifa za nimtakae:-
-kuanzia 34-45
-muslim
-ukiwa na watoto sawa na nitawalea vizuri
Nb:- kupima afya ni lazima hivo tutapima inshaAllah.
Karibu ewe laaziz tumalizie maisha pamoja kwa furaha na upendo.ππ