Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natumai kashakuja PM tyrWewe ndio waridi wangu niliyekua nakutafuta Waridi88
Mume umepata tayari,njoo PM tupange harusi iwe lini na wapi,
Naomba huu uzi uishie hapa,
Nawakaribisha kwenye harusi yangu binti kiziwi ephen_ To yeye Lamomy na wengine.
Vipi kuhusu Mwenye miaka 20-25? Huwezi kumfikiria?A'alkm
Natafuta mume Muislam
Umri 35-45.
Wasifu wangu
- Nina miaka 36
-mpole sana na mcheshi
-nina watoto wawili
Mnyaazi akujalie kheri. Upole na ucheshi Umefanya tufungwe 2-0 na yanga.A'alkm
Natafuta mume Muislam
Umri 35-45.
Wasifu wangu
- Nina miaka 36
-mpole sana na mcheshi
-nina watoto wawili
Ariririiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii 😍😍😍Wewe ndio waridi wangu niliyekua nakutafuta Waridi88
Mume umepata tayari,njoo PM tupange harusi iwe lini na wapi,
Naomba huu uzi uishie hapa,
Nawakaribisha kwenye harusi yangu binti kiziwi ephen_ To yeye Lamomy na wengine.
Kama bado hujampata aliye serious, nategemea msg yako inbox, karibu...A'alkm
Natafuta mume Muislam
Umri 35-45.
Wasifu wangu
- Nina miaka 36
-mpole sana na mcheshi
-nina watoto wawili
Punguzeni tamaa nyie waislamuWaridi88 kw intro tu nimependa ulivyo mkweli kwani Id name yako inaukweli wa jina lako na umri wako kwa mwaka uliozaliwa.
Ikitokea nafasi ya kua mke wa pili nijuze kwani nimeoa na nina watoto watatu,kwa hiyo ukiwa mke mwenza naongeza mtoto mmoja tu kwako basi!!
Mungu akujaalie hitaji la moyo wako na barka kwa manufaa ya watoto na ustawi wako!!
😂😂😂Mnyaazi akujalie kheri. Upole na ucheshi Umefanya tufungwe 2-0 na yanga.
Wewe ndio waridi wangu niliyekua nakutafuta Waridi88
Mume umepata tayari,njoo PM tupange harusi iwe lini na wapi,
Naomba huu uzi uishie hapa,
Nawakaribisha kwenye harusi yangu binti kiziwi ephen_ To yeye Lamomy na wengine.
Sasa mbona tena unaanza kutoa siri za kambi?Hongera sana, mbona mimi na to yeye umetuacha bila taarifa???
😅😅😅😭😭
Ilimradi nikusagie kunguni kwa mke mpya...Sasa mbona tena unaanza kutoa siri za kambi?
😀
Wawili tu sema ukweli bana..hili la.mtoto watakimbia wengi labda ukutane na aliefiwa na mkewe karibun...hili ukimwona live ndio unampa ukweli wa watoto kwa humu mmmh...A'alkm
Natafuta mume Muislam
Umri 35-45.
Wasifu wangu
- Nina miaka 36
-mpole sana na mcheshi
-nina watoto wawili