Huna maisha hadi Sasa age yako above 30, na unataka uje kujenga na mwanaume? Nilitegemea useme unahitaji jamaa anayejua kugegeda aje akuzalishe ulee watoto.Nina hitaji mwanaume wakujenga nae maisha mwanaume mwenye miaka kati ya 29-37,dini awe mkristo,awe na kazi au biashara,pia awe ni mtu alie serious kweli,endapo ana watoto asiwe na watoto zaid ya wawil.
Mimi ni binti mwenye miaka 27 nina ishi na virusi vya ukimwi ,rangi yangu maji ya kunde,sio mrefu wala sio mfupi nipo wastan ,sio mnene wala si mwembamba nina uzito wa kilo 55,
Sent using Jamii Forums mobile app
acha ujinga wewe, above 30 kitu gani wewe? unafikiri huto tumaisha Mungu amekupa kwa ajili ya kutukana wengine ambao hawana maisha? unaweza ukakosa maisha sasa hv na huyu akapata zaidi yako, muheshimu Mungu usidharau na kutukana watu, pole cindymeHuna maisha hadi Sasa age yako above 30, na unataka uje kujenga na mwanaume? Nilitegemea useme unahitaji jamaa anayejua kugegeda aje akuzalishe ulee watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Akawatafute clinicHapa wanapita tu utakutana nao inbox, dali kimoko ni siri ya rohoni.
Humu pia wamo mkuu, unafikiri + unawekewa ndonya?
Humu matapeli tuHumu pia wamo mkuu, unafikiri + unawekewa ndonya?
Jitadhmini vzr, acha dhihaka.Huna maisha hadi Sasa age yako above 30, na unataka uje kujenga na mwanaume? Nilitegemea useme unahitaji jamaa anayejua kugegeda aje akuzalishe ulee watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu huyu mdada kakosea wapi mpaka umpe maneno makali na magumu kiasi hiki?huoni kwamba anafaa kuigwa kwa kutambua hali aliyonayo na kuhitaji mtu mwenye hali kama yake ili aingie naye kwenye mahusiano?mwingine asingejiweka wazi angesema liwalo na liwe,.Huna maisha hadi Sasa age yako above 30, na unataka uje kujenga na mwanaume? Nilitegemea useme unahitaji jamaa anayejua kugegeda aje akuzalishe ulee watoto.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu huyu mdada kakosea wapi mpaka umpe maneno makali na magumu kiasi hiki?huoni kwamba anafaa kuigwa kwa kutambua hali aliyonayo na kuhitaji mtu mwenye hali kama yake ili aingie naye kwenye mahusiano?mwingine asingejiweka wazi angesema liwalo na liwe,.
Pole sana Dada, Mungu ni mwema atakujalia hitaji la Moyo wako,kikubwa ni kumtanguliza yy kwa kila jambo
Sent using Jamii Forums mobile app