kafui daughter
Member
- Feb 19, 2017
- 75
- 142
Njoo pm tufahamiane vizuri! napenda wanawake wa kaskazini!Habari wanajamvi,
Mimi ni mwanamke wa miaka 33, niko Arusha, Mkristo Mcha Mungu.
Natafuta mume miaka 33 hata 36, awe Mkristo Mcha Mungu.
Kujuana zaidi njoo PM.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]vp kuhusu degree, kazi, nyumba, gari... sijui anaye care na blah blah zenu kibao mnazoletaga hapa....
Hahahahaha!vp kuhusu degree, kazi, nyumba, gari... sijui anaye care na blah blah zenu kibao mnazoletaga hapa....
Vipi kwa umri huo co mjane kweli au ndo ulikuwa unatumia ujana na kama ni ujana hiyo k si itakuwa na sigda kabisaHabari wanajamvi,
Mimi ni mwanamke wa miaka 33, niko Arusha, Mkristo Mcha Mungu.
Natafuta mume miaka 33 hata 36, awe Mkristo Mcha Mungu.
Kujuana zaidi njoo PM.
Karibu, Mimi Niko Tayari , SIFA ninazo.Habari wanajamvi,
Mimi ni mwanamke wa miaka 33, niko Arusha, Mkristo Mcha Mungu.
Natafuta mume miaka 33 hata 36, awe Mkristo Mcha Mungu.
Kujuana zaidi njoo PM.
Apunguze umri ufike 23Tatizo huo umri ndio mtihani kwangu, legeza kidogo masharti bibie
Nanyie wanafunzi huko shule si mna saizi zenu? hawa tuachie si kaka zenu, mbona tamaa sana?Apunguze umri ufike 23
Vigezo ninavyo pia nami nimechelewa kupata mwenza, sina hata mtoto. utanifaa njoo pm kama sio jokes. l'm very serious about itSijafikisha huo umri...
Habari wanajamvi,
Mimi ni mwanamke wa miaka 33, niko Arusha, Mkristo Mcha Mungu.
Natafuta mume miaka 33 hata 36, awe Mkristo Mcha Mungu.
Kujuana zaidi njoo PM.
Simba akikosa nyama anakula majanvp kuhusu degree, kazi, nyumba, gari... sijui anaye care na blah blah zenu kibao mnazoletaga hapa....