Sio kweli ,unapogunduliwa huwa wanaangalia viral load , kiwango cha virusi ktk damu kama bado ipo chini hawezi anza dozi nakm ipo ju ndo unaanza dozi ..Hii chai, siku hizi ni ukigundulika tu, hapo hapo unaanzishiwa dawa. So peleka huko chai yako
Mkuu hiyo ilikuwa enzi hizo, siku hizi ni Test and Treat.Sio kweli ,unapogunduliwa huwa wanaangalia viral load , kiwango cha vizuri.ktk damu kama bado ipo chini hawezi anza dozi nakm ipo ju ndo unaanza dozi ..
Shortly inategemea na mtaalam wako kaona nn sahihi ,watu wa vijijin ndo sana wanaanzishwa hapo hapo wasokua nauhakika wa msosi na azoezi lkn pia ikiwa upo ktk mazingira ya kubukiza wengine ndo unahamsishwa kuanza kuzitumia.
Oohhh sawa mkuuMkuu hiyo ilikuwa enzi hizo, siku hizi ni Test and Treat.
Mbona upatikaniHi!
Naitwa holyholy nina miaka 29. Nina elimu ya Chuo kikuu but bado sijapata ajira.
Niko hapa kutafuta mume mwenyewe umri kuanzia miaka 32-40 aliye na hali kama yangu mimi. Nina miezi kadhaa toka nigundulike na bado sijaanza kutumia dawa.
Natafuta mwanaume mkristo,mwenye kazi ya kumuuingizia kipato,awe tayali kufunga ndoa takatifu, awe mrefu, maji ya kunde, asiwe mlevi na pia awe ana hofu ya Mungu.
NB: Aliye serious anitafute kwenye e-mail yangu claudiaforum2018@gmail.com
sio kweli ukimwi ni ugonjwa mzuri sana. ukizingatia mashariti unaweza kuishi hadi miaka 30 au zaidi. hivyo kama una 29 saiz ukiongeza 30 utakuwa na almost 50 kama ni watoto walishakuwa wakubwa na kwa vile unajua status yako basi utakuwa umewandaa kabisa kwa kubaki bila shidaKwanini unataka kupata familia, mpate watoto baada ya muda muwaache yatima wakisumbuka na ulimwengu? Huoni utakuwa umekidhi haja yako kwa kuzalisha huzuri sehemu nyingine. Labda msipate watoto.