lingindingi
JF-Expert Member
- Jul 28, 2016
- 218
- 123
Picha tafadhariSalama wakuu wa love connect.
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.
Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.
Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.
Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.
Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Kwani hujasoma vigezo??Nina 40 je na mimi hunitaki?
Badilisha kichwa cha uzi wako,maana ninaona wewe umetafsiri kiingereza chako hapo ilhali hapa ni Tz.Tanzania mwanamke anatafuta mwanamume wa kumuoa na siyo kuoana kama ulivyodai!!!Salama wakuu wa love connect.
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.
Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.
Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.
Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.
Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.
Duh! Sasa hapo kwenye vyeti na hii biashara ya Sato huku kanda ya ziwa sijui kama utanikubalia! Ila na Mimi Nina kidume kimoja.Kwani hujasoma vigezo??
umri wako unaruhusiwa. Sijui vigezo vingine.
Nielekeze kwenu nihamie na uniandalie dada yako au mama mdogo wakoHama usabato,
Au
Tafuta msabato mwenzio
Sisi sio wasabato lknNielekeze kwenu nihamie na uniandalie dada yako au mama mdogo wako
Ndiyo maana ya kuchagua!Kwanini unawakataa wasabato
Kuolewa ndio majaliwa ama kumpata wa kumuoa?Angalau ulifanya la maana kuzaa, kuolewa ni majaliwa.
Ua not serious wewe.Mmm
nitakuwa nimekuzidi umri
akhuuuu
Ni tabia zipi hizo dada yangu?Hawa wana masharti magumu sana!!
na ni wanatabia fulani hivi za kukera.
Mimi miongoni wale elfu tisa waliotumbuliwa sasa sina kazi. Je nitakufaa?Salama wakuu wa love connect.
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 37, nina mtoto mmoja wa mwaka mmoja, baba yake tuliachana ila hatukuwahi kuishi pamoja, nimeajiriwa serikalini, nina elimu ya masters.
Umbo langu ni mnene kiasi, maji ya kunde, dini mkristo mkatoliki, ninaishi dar.
Natafuta mume wa kufunga nae ndoa na kumaliza nae muda wa kuishi duaniani; awe mwenye umri kuanzia miaka 37, Mwenye elimu kuanzia chuo kikuu, asiwe mnene, rangi yoyote, mwajiriwa ama mtafutaji, anayejua umuhimu wa maisha na ndoa, mwenye kumpenda mke na atakayemkubali na kumpenda mwanangu, awe mkristo wa dhehebu lolote isipokuwa msabato.
Nitampenda kwa moyo wangu wote na kuwa mwaminifu kwake.
Kwa anayekubali vigezo anakaribishwa PM tafadhali.